Sunday, April 15, 2018

UJUMBE WA JUMAPILI YA LEO..MSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KILA JAMBO

Usiwe na hofu kwa kuwa binadamu kukuacha katika udhaifu ulio nao kwa sababu yeye sio Mungu, na pesa sio kila kitu katika maisha, maisha hayajakamilika kwa mtu yeyote.

Kuna  mwenye nyumba lakini hana gari, kuna mwenye gari na hana watoto, kuna mwenye pesa hana afya, na kuna mwenye vyote lakini hana AMANI wala FURAHA. MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO

No comments: