Saturday, April 7, 2018

KUMBUKUMBU...VIAZI VITAMU

Leo  katika kytafuta mahitaji nimekutana na viazi vitamu/mbatata nimenunua viwili, mihogo  2 na ndizi mbanga/mzuzu mbili. Kwa hiyo huu utakuwa mlo wa leo ikiwa kachumbali pembeni. ...mmmhhh utamu.

No comments: