Thursday, August 31, 2017

NIMEONA TUBAKI KIDOGO KATIKA MKOA HUU WA RUVUMA ....HAYA KUWA SAMBAMBA NAMI....


Kama hukujua jina RUVUMA limetokana na nini sasa wajua ni kwamba:- Ruvuma ni eneo la Tanzania. Jina lake ni kutokana  na Mto Ruvuma ambao  mipaka yake ipo kusini mwa Msumbiji.
PANAPO MAJALIWA TUTAONANA TENA...NI KAPULYA WENU.