Monday, July 3, 2017

BUSTANI...NILIMTEMBELEA DADA YANGU MMOJA KWENYE BUSTANI YAKO HII NZURI

MCHICHA NA MAHARAGWE
Jana nilimtembelea dada yangu kwenye bustani yake. Ana bustani nzuri sana niliipenda sana na kumwonea wivu:-)  ila kwa upendo wake alinichumia mchicha mwingi tu nilimshukuru sana. Bustani yangu mwaka huu inasuasua....ila sijakata tamaa na hivyo nimeiona ya huyu dada nimepata nguvu zaidi......karibuni mtaona bustani yangu

No comments: