Wednesday, June 28, 2017

KUMBUKUMBU : - UNAKUMBUKA HADITHI HII MANDAWA NA MANENGE....

Hapo  zamani palikuwa na mtu na mkewe, mtu huyo aliitwa Manenge na mkewe aliitwa Mandawa. Siku hizo chakula kizuri kilikuwa maziwa na nyama.
Lakini vyakula hivi vilipatikana kwa shida shida. Maziwa yaliweza kupatikana tu kama mtu alikuwa na ngòmbe. Na nyama  iliweza kupatikana tu kama mtu alipewa zawadi  na jamaa yake au alinunua. JE  ? UNAIKUMBUKA HADITHI HII?

No comments: