Tuesday, June 27, 2017

KITENDAWILI........!

Kitendawilii!!!!!!
Ni cheupe kama Barafu,
Na ni cheusi kama giza,
Kuliwa ni haramu na kunywa ni halali kina herufi 5 
na kinaanza na herufi ( M ) kinatumiwa na wanaume mara 3 kwa siku,
Na kinatumiwa na wanawake mara 1 kaitka umri wao,
Je?,Ni kitu gan hicho???
TAFADHALI TAFADHALI NI KITU GANI HICHO?

No comments: