Friday, January 13, 2017

TANZANIA TUNA NGOMA NYINGI SANA ZA ASILI...UNAKUMBUKA NGOMA HII YA MHAMBO?

Nakumbuka wakati nikiwa nikisoma shule ya msingi tulikuwa tukicheza ngoma zote za asili MUHAMBO ílikuwa mojawapo. na mwalimu wa ngoma hii namkumbka sana, aliitwa mwalimu Ndumbalo "Moyoumo" ...yaaani nimekumbuka sana ....pia nimetamani kwa hiyo nimecheza cheza hapa....PANAPO MAJALIWA NA NITAKULETEENI NGOMA NYINGINE YA ASILI:-) MWISHO WA JUMA UWE MWEMA NA MWENYE FURAHA NA AMANI...Kapulya

No comments: