Sunday, December 11, 2016

NAWATAKIENI JUMAPILI HII YA TATU YA KIPINDI HIKI CHA MAJILIO IWE NJEMA...!

NUKUU  "Mpendwa mwana wa Mungu, tukiendelea kwa furaha katika Majilio, leo tunaendelea kulitazama Neno la Mungu kwa furaha ili tujifunze na kuonja upendo wa Mungu kwa njia ya Neno wake. Ni Dominika ya III ya Kipindi cha Majilio, Mwaka C wa Kanisa, tukialikwa kufurahi kwa uchangamfu kwa maana Bwana yu karibu. Kama kawaida Dominika ya III ni Dominika ya furaha, kumbe, furahini katika Bwana. Katika Dominika hii tunatafakari Neno la Mungu pia tukimtazama Mtakatifu Yosefu, Baba mlishi wa Bwana."
JUMAPILI NJEMA NDUGU ZANGU. UJUMBE TUPENDANE!

No comments: