Monday, October 31, 2016

JUMATATU HII YA MWISHO WA MWEZI HUU WA KUMI TUMALIZE NA UJUMBE HUU KUTOKA KWA MIMI KUJA KWENU WASOMAJI WA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO

Maisha ni mtihani, kwa vile watu wengi hufeli kwa sababu wanajaribu/tunajaribu kukopi/kuiga maisha ya wengine. Tunasahau ya kwamba kila mmoja ana mtihani wake.
NAWATAKIENI WOTE MWISHO MWEMA WA MWEZI HUU WA KUMI!

No comments: