Thursday, September 1, 2016

KUPATWA KWA JUA HUKU MBEYA/REJEWA-TANZANIA......

Hapa ilikuwa kama nne na robo  ilionekana hivi
Na baada ya muda kama saa nne na dakika orobaini na mbili ilionekana hivi. Yaani mwezi ulionekana mdogo sana. Jua limeishiwa nguvu kabisa na kamwezi kanaonekana kwa pembeni kama kifaranga kinatengenezwa

 
Na sasa jua limeanza kujiachia, lilikuwa limeshukwa kabisa. Baada ya hapo ghafla hali ya hewa imebadilika na kuwa na baridi kali sana. Picha zaidi zitakuja maana tukio lasemekana litakamilika saa nane....

No comments: