Wednesday, May 18, 2016

CHEKA TARATIBU NDUGU YANGU...!!!

Mwalimu aliingia katika darasa moja huko Iringa Vijijini na kuuliza wanafunzi wake. "Nani atanipa jibu la wingi wa Chumvi?" Mwanafunzi mmoja kwa kujiamini akasimama na kujibu, "Fyuvi!" Duh, kasheshe  hiyo.....!

No comments: