Monday, April 18, 2016

TUANZE HII WIKI KWA KUUTEMBELEA MJI WETU SONGEA: TATIZO LA MAJI LAPELEKEA WANANCHI KUHARA DAMU ....

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mkenda Songea Vijijini, Mkoani Ruvuma, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji wanakabiliwa na tatizo kubwa la maji na kulazimika kunywa maji yanayopatikana kwenye vidimbwi na maji ya Mto Ruvuma na hivyo kukumbwa na magonjwa ya kuharisha.

No comments: