Friday, January 29, 2016

BADO NIPO KIJIJINI KWETU LUNDO NA NDOTO ZANGU ZA VYAKULA....LEO NIMEKUMBUKA MBAAZI...

 Usifikiri ni maua yoyote yale ..hapana ni maua ya mti/mmea wa kunde aina ya MBAAZI au wengine husema kunde miti.  Ninazipenda sana....
...hapa zimeanza kukomaa tayari kwa kula kama muonavyo. Ni tamu sana kwa wali pia Ugali. Ila binafsi napenda zaidi kwa wali

No comments: