Sunday, November 1, 2015

JUMAPILI NJEMA KWA WOTE JUMAPILI HII YA KWANZA YA MWEZI WA KUMI NA MOJA....NA WIMBO HUU:- AMANI YA TANZANIA NI NGUZO IMARA......


Namshukuru Mungu tangu uchaguzi umeanza mpaka leo kumekuwa na AMANI na nazidi kumwomba Mwenyezi Mungu amani na utulivu vizidi kuendelea. Pia namshukuru Mungu kwa kutulinda na kutuepusha na magonjwa makubwa. Sisi sote ni ndugu na watoto wa baba mmoja kwa hiyo tupendane na tukumbukane.....Kapulya!

No comments: