Monday, August 31, 2015

NIMEKUMBUKA NILIPOKUWA DARASA LA KWANZA NA PILI TULIKUWA TUKIIMBA SANA NYIMBO MOJAWAPO NI HII:- KWAHERI BABA NA MAMA!!!

1. Kwaheri baba na mama twaenda shuleni x2
Kusoma huko shuleni pamoja na mwalimu.
Kuandika huko shuleni pamoja na mwalimu.
 
2. Kwaheri baba na mama twaenda shuleni x2
Kuhesabu huko shuleni pamoja na mwalimu.
Kuchora huko shuleni pamoja na mwalimu.
 
3. Kwaheri baba na mama twaenda shuleni x2
Kuimba huko shuleni pamoja na mwalimu.
Twaimba sote pamoja pamoja na mwalimu.
JE? NA WEWE NDUGU YANGU KUNA WIMBO UNAUKUMBUKA AMBAO ULÖIKUWA UKIIMBA KILA SIKU?....Kapulya:-) Panapo majaliwa tuonane mwezi ujao!!
 

No comments: