Saturday, June 6, 2015

UJUMBE WA LEO KUTOKA KWA KAPULYA WENU!!

Usiumizwe na mtu ambaye haumizwi kwa ajili yako. Tambua maisha ni mafupi kama umeme. Kuwa na furaha na acha kuwa mnyonge.
JUMAMOSI NJEMA.
PANAPO MAJALIWA TUTAONANA TENA!!!

No comments: