Monday, January 26, 2015

TUANZA JUMATATU/WIKI HII NA MSEMO HUU!!!

Kama binadamu, huwezi kamwe kuona aibu kwa kutokubali kosa.  Kwa maneno mengine hii inaweza ikasemwa ya kwamba mtu ana akili leo kuliko jana.
NI MATUMAINI YANGU WIKI IMEANZA VIZURI KWA WOTE!  MWANZO MWEMA WA WIKI.

No comments: