Saturday, September 27, 2014

ZILIPENDWA..NYUMBANI RUHUWIKO

Ilikuwa 2009 Ruhuwiko, tulifikiwa na wageni ambao ni watata viziwi toka shule ya watoto viziwi Ruhuwiko. Na siku hii kulikuwa na mvua kubwa sana na wote tukawa ndani . Bahati nzuri baraza ilikuwa kubwa sana... Ni viziwi lakini tulipata maswali mengi sana toka kwao...JUMAMOSI NJEMA KWA WOTE

No comments: