Friday, August 29, 2014

NAPENDA KUWATAKIENI MWISHO MWEMA NA KIPANDE HIKI CHA MZIKI ........ASILI YA MZIKI


Hakuna mwanamziki ambaye alikuwa akimba na wengi wakimwelewa anasema nini. Katika nyumba hii Remmy anapendwa sana...kwa hiyo nimeona leo tumkumbuke/tumuenzi. MWISHO WA JUMA UWE MWEMA KWENU!!

No comments: